forked from WA-Catalog/sw_tn
650 B
650 B
alipokwisha kushukuru
"alipokwisha toa shukurani kwa Mungu"
akasema
"akasema kwa mitume wake"
mgawane ninyi kwa ninyi
Tafsiri mbadala: "mgawane divai miongoni mwenu" au "ninyi wote mnywe divai kidogo kutoka katika hiki"
kwa maana nawaambia
Hii sentensi inatumika kusisitiza wa kile ambacho Yesu atakisema baada ya hiki.
mzao wa mzabibu
Hii inarejea "jwisi" ambayo inakamuliwa kutoka katika zabibu inayoota kwenye shamba la mizabibu. Divai inatokana na "jwisi" ya zabibu iliyochacha.
mpaka ufalme wa Mungu utakapokuja
Tafsiri mbadala: "Mpaka Mungu atakapoimarisha ufalme wake" au "mpaka Mungu atakapotawala katika ufalme wake.