forked from WA-Catalog/sw_tn
576 B
576 B
Habari za jumla
Mmoja wa watu katika meza anaongea na Yesu na Yesu anajibu kwa kuwaeleza mfano
Heri yeye
mtu alikuwa si akizungumza juu ya mtu fulani. AT "Amebarikiwa mtu yeyote ambaye" au" Jinsi nzuri ni kwa kila mtu. "
yeyeto atakae kula mkate
neno "mkate" hutumika kwa kutaja mlo mzima" AT "ambao kula katika mlo."
Lakini Yesu akamuambia
Yesu akaanza kuelezea mfano
Wakati chakula cha jioni kikiwa kimeandaliwa
AT "Wakati huo kwa chakula cha jioni" au "Wakati chakula cha jioni kikiwa tayari kuanza"
wale walioalikwa
AT "wale waliokuwa wamealikwa"