forked from WA-Catalog/sw_tn
533 B
533 B
Kile kidari kitikiswacho na lile paja ambalo hutolewa kwa Yahweh
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kile kidali na paja ambalo mtu alilitikisa na kuipeleka kwa Yahweh"
kidari
ile sehemu ya mbele ya mwili wa mnyama chini ya shingo
paja
ile sehemu ya juu mguu juu ya goti
Wewe mwenyewe, wanao na binti zako
"Wewe" hapa humaanisha Aroni
Nazo zitakuwa zako wewe na wanao uwe mgao wenu daima
Hii ijulikane kwamba sehemu hiyo ni ya Aroni na wanawe. : "Sehemu hii daima itakuwa kwa ajili yako na wanao"