forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
595 B
Markdown
21 lines
595 B
Markdown
# sentensi unganishi
|
|
|
|
Yuda anawambia waamini jinsi ya kuishi na namna ya kuwa tendea wengine.
|
|
|
|
# kama mjijengavyo wenyewe
|
|
|
|
Kama muwezavyo kukua imara na afya njema, ili kwamba muweze kuimarika na kukua fahamu zenu na roho katika maarifa ya Mungu
|
|
|
|
# msubiri
|
|
|
|
"tunatazamia kwa shauku"
|
|
|
|
# jitunzeni katika upendo wa Mungu
|
|
|
|
Kuweza ;kupokea upendo wa Mungu ya zungumziwa kama vile mtu amejihifadhi sehemu.
|
|
|
|
# rehema za Bwana wetu Yesu Kristo ambayo huwapatia uzima wa milele
|
|
|
|
Hapa "rehema" ya wakilisha Yesu Kristo mwenyewe, ambaye atawaonyesha rehema zake kwa waaamini kwa kuwafanya wa ishi milele
|
|
|