forked from WA-Catalog/sw_tn
486 B
486 B
Hannathoni...Efta Eli Katathi...Nahalali...Shimroni...Idala...Bethlehemu
Haya ni majina ya sehemu/mahali
Bethlehemu
Hii siyo ile "Bethlehemu" ambayo iko kusini mwa Yerusalemu katika Yuda.
Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Zabuloni,
Nchi na miji ambayo kabila la Zabuloni liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu
waliopewa kwa kufuatana na koo za
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao"