sw_tn_fork/jos/13/27.md

261 B

Bethi Haramu...Bethi Nimra....Zafoni....Heshiboni

Haya ni majina ya mahali/sehemu

Huu ni urithi wa kabila la Gadi

Nchi ambayo Musa aliwagawia kabila la Gadi inazungumziwa kana kwamba ilikuwa ni urithi ambao kabila la Gadi walipokea kama mali ya kudumu.