Sentensi unganishi
Ayubu anaendelea kuongea
Je
"Mungu angelieweza"
Ambapo
inarejea sehemu ambapo Mungu yupo
je angeona kuwa sina hatia milele katika kuhukumu kwangu
KTN: "kuhukumu kwangu kungeliniweka huru daima" au "Mungu, ambaye ni hakimu wangu, angesema kuwa sina hatia kabisa"