forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
583 B
Markdown
17 lines
583 B
Markdown
# Sentensi Unganishi:
|
|
|
|
Ayubu anazungumza kwa rafiki zake watatu.
|
|
|
|
# Habari za Jumla
|
|
|
|
Tazama uandishi wa ushairi na mifano ya miti wa mitini
|
|
|
|
# mpaka lini mtanifanya mimi kuteseka na kunivunja vunja mimi vipande vipnde kwa maneno?
|
|
|
|
Ayubu anatumia swali hili kulalamika kuhusu jinsi rafiki zake wanavyomtemdea yeye. "Acheni kunifanya mimi niteseke na kunikatakata mimi vipande vipande kwa maneno."
|
|
|
|
# kunivunja vunja mimi vipande vipande
|
|
|
|
Ayubu anatumia picha hii kusema kwamba maneno yao yanamfanya yeye ajisikie mwenye huzuni sana na asiyekuwa na tumaini. "na kunitesa kwa maneno"
|
|
|