forked from WA-Catalog/sw_tn
451 B
451 B
Rabboni
Neno "Rabboni" linamanisha rabi au mwalimu katika Matamushi ya Kiaramaic ya Mariamu
ndugu
Yesu alitumia neno "ndugu" akimaanisha wanafunzi wake
nitapaa kwenda kwa baba amabye pia ni baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.
Yesu alifufuka toka wafu kisha akatabiri kupaa mbinguni, akirudi kwa Baba, Mungu Baba
Baba yangu na Baba yenu
Hivi ni vyeo muhimu vinavyofafanua uhusiano kati ya Yesu na Mungu, na kati ya waumini na Mungu.