Siku ya kwanza ya Juma
Jumapili
Mwanfunzi ambaye Yesualimpenda
Sentesi hii inaonekana kuwa ni njia ambayo Yohana aliitumia kumwonyesha yeye katika kitibu chote. Neno "upendo" linamaanisha upendo wa ndugu au upendo wa rafiki au kwa mwanafamilia
Wamemchukua
Mtu amechukua