Maelezo ya jumla:
Kwenye mstari wa 32 mwandishi anaelezea jinsi ambavyo yesu alitabiri kifo chake
Wayahudi wakamwambia
Hawa ni viongozi wa Wayahudi aliompinga Yesu na kumkamata.
sheria haituruhusu sisi kumpa tu adhabu ya kifo
Kulingana na sheria ya Kirumi, Wayahudi wasingweza kumuua mtu.