Sentensi unganishi:
Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake
nanyi mtatawanyika
"wengine watawatawanya"
Baba yu pamoja nami
Hili jina la muhimu la Mungu
ili kwama ndani yangu muwe na amani
amani ya ndani
nimeushinda ulimwengu
nimezishinda taabu na mateso ya duniani