forked from WA-Catalog/sw_tn
366 B
366 B
Basi alikuwa Yerusalemu
Neno basi linatutambulisha katika tukio jingine katika hadithi
wakaalimini jina lake
Hapa "jina" ni neno linalowakilisha utu wa Yesu. "aminini" au "kuamini katika yeye."
ishara za maajabu
Miujiza inaweza kuitwa "ishara" kwa sababu yanatumiwa kama ushahidi kwamba Mungu ni mwenye nguvu ambaye aliye na mamlaka kamili juu ya dunia.