forked from WA-Catalog/sw_tn
440 B
440 B
Tazama
Neno hili linatambulisha kitu hivyo umakini unahitajika.
Wanaojivuna
Bwana anawaelezea hivi watu wa Babeli.
Kwa kuwa siku yako imekuja ... muda ambao nitakuadhibu
Sentensi hizi zina maana inayofanana. "Kwa kuwa siku nitakayokuadhibu imefika"
Siku yako
Hii inaonesha muda ambao adhabu kubwa itakuja juu ya Babeli.
Nitaangaza
Bwana ataangaza
Moto katika miji yao
Hii inaonesha namna ambavyo uharibifu utatokea.