forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
511 B
Markdown
17 lines
511 B
Markdown
# Hivyo nikawatuma tena
|
|
|
|
Huyu ni Bwana.
|
|
|
|
# hasiya yangu na ghadhabu yangu ilimwagika
|
|
|
|
Hii inaelezea hukumu ya Bwana kama maji ambayo ameyahifadhi kwenye maji lakini hasira yake inaweza kusababisha akaimwaga hasira yake kwa kuanza kuwahukumu wale wanaomkasirisha.
|
|
|
|
# hasira yangu na ghadhabu yangu
|
|
|
|
"hasira" na "ghadhabu"yana maana moja yakiwa yanasisitiza uzito wa hasira yake.
|
|
|
|
# Wakawa magofu na ukiwa
|
|
|
|
Maneno "magofu" na "ukiwa" yana maana sawa. yanasisitiza namna ambavyo Yuda na Yerusalemu itakuwa ukiwa.
|
|
|