sw_tn_fork/jer/05/18.md

342 B

katika siku hizo

Kirai "siku hizo" kinamaanisha wakati ambapo hilo taifa litakuja kuwavamia watu wa Israeli.

asema BWANA

Tazama 1:7

sikusudii kuwaharibu

"sitawaangamiza"

itatokea kwenu

"itakapotokea kwamba .."

haya yote

BWANA atatuma jeshi geni kuiangamiza Israeli.

kuabudu miungu migeni

"kuwatumikia miungu migeni"