forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
372 B
Markdown
17 lines
372 B
Markdown
# baba na kuhani
|
|
|
|
Hapa "baba" imetumika kama mshauri. "mshauri na kuhani"
|
|
|
|
# suti ya nguo
|
|
|
|
"suti ya nguo kila mwaka"
|
|
|
|
# Basi Mlawi akaingia nyumbani mwake
|
|
|
|
"Hivyo Mlawi akakubaliana na alichoambiwa na akaingia kwenye nyumba yake"
|
|
|
|
# huyo kijana kwa Mika akawa kama mmoja wa wanawe
|
|
|
|
Uhusiano kati ya Mika na Mlawi ukawa wa karibu sana kama uhusiano wa baba na mtoto wake.
|
|
|