forked from WA-Catalog/sw_tn
564 B
564 B
Kwa kuwa yeyote atiiye
"Yeyoye anayetii"
bado akajikwaa ... sheria yote
Kujikwaa ni kuanguka chini wakati mtu anatembea. kutotii sheria ni sawa na kujikwaa wakati wa kutembea.
katika nukta moja
kwa sababu ya kutotii kwa sheria moja tuu
Kwa kuwa Mungu aliyesema
Hii inamuelezea Mungu aliyempa sheria Musa.
usifanye
"kufanya" ni kuchukua hatua
Kama ninyi .... lakini una ... ume
"ninyi" inamaanisha "kati yenu" Japokuwa Yakobo aliwaandikia waamini wengi wa Kiyahudi kwenye sehemu hii ametumia umoja kama vile alikuwa amzungumzia mtu mmoja.