forked from WA-Catalog/sw_tn
563 B
563 B
Maelezo ya Jumla
Yahwe anaendelea kuzungumza kwa wale wa Israeli ambao huabudu sanamu.
atabarikiwa na mimi, Mungu wa ukweli
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mimi, Mungu ambaye huzungumza ukweli daima, nitambariki"
shida za awali zitasahaulika ... zitafichwa
Vishazi hivi inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "watasahau shida zao za awali, kwa maana shida hizi zitatoweka katika kumbukumbu zangu"
zitafichwa kutoka machoni pangu
"kufichwa machoni pangu" inawakilisha uzingatiaji na kumbukumbu ya Yahwe. "Hata sitawaza juu yao tena"