forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
377 B
Markdown
17 lines
377 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza
|
|
|
|
# lakini mkono wangu wenyewe
|
|
|
|
Hapa "mkono" unawakilisha uwezo.
|
|
|
|
# na kuwafanya walewe katika hasira yangu
|
|
|
|
Hii ina maana Yahwe aliwafanya washangae na kutokuwa na ufahamu wa hasira yake kamili na adhabu.
|
|
|
|
# nilimwaga nje damu yao
|
|
|
|
Hapa "damu" inawakilisha maisha ya adui wa Yahwe ambao walikuw wakimwagika nje ili waweze kufa.
|
|
|