forked from WA-Catalog/sw_tn
448 B
448 B
amekuja ... amepita ... ametunza ... wamevuka ... kupanga ... hutetemeka ... amekimbia
Isaya anazungumzia matukio haya ya mbeleni kana kwamba yamekwisha tokea.
Aiath ... Migroni ...Mikmashi ... Geba ... Rama ... Gibea
Hii yote ni miji na vijiji karibu na Yerusalemu ambazo jeshi la Ashuru lilipita katikati na kusababisha shida.
Rama hutetemeka na Gibea wa Sauli amekimbia
"Watu wa Rama hutetemeka na watu wa Gibea wa Sauli wamekimbia"