forked from WA-Catalog/sw_tn
362 B
362 B
Taarifa ya jumla:
Nabii Hosea anazungumza.
kwa nabii
Ambaye ni Musa.
amemkasirisha
Hasira ambayo mtu ameisababisha kwa Bwana ni kubwa mno.
Basi Bwana wake ataachia damu yake
Hapa "damu" ni hatia iliyopo kwa mtu aliyemuua mwenzake. Mungu haitaisamehe dhambi hiyo.
naye atamrudishia aibu yake
"atamfanya ateseke kutokana na matendo yake maovu"