forked from WA-Catalog/sw_tn
653 B
653 B
Taarifa ya jumla:
Nabii Hosea anazungumza juu ya Israeli.
mizani ya uongo
Wafanyabiashara wanatumia mizani kupima uzito wa fedha au bidhaa wanayonunua ua kuuza.
wanapenda kudanganya
Wafanyabiashara wanawadanganya wateja wao kwa kuchukua pesa nyingi kuliko inavyotakiwa.
Kwa hakika mimi ni tajiri sana; Nimepata utajiri kwa nafsi yangu
Sentensi hizi zina maana sawa kuwa watu wa Efraimu wanajiona kuwa wamefanikiwa sana.
Nimepata utajiri
Kuwa tajiri kwa kufanya biashara kunazungumzwa kama kupata utajiri.
hawataona uovu wowote ndani yangu, chochote ambacho kitakuwa dhambi
Watu wa Efraimu wanajiona kuwa ni watu wasio na lawama.