forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
560 B
Markdown
25 lines
560 B
Markdown
# Basi
|
|
|
|
Neno hili linatumika hapa kuweka alama ya badiliko kutoka kwa simulizi kwenda kwa taarifa ya nyuma kuhusu Israeli na Yusufu.
|
|
|
|
# akampenda
|
|
|
|
Hii ina maana ya upendo wa kindugu au upendo wa kirafiki au kifamilia. Huu ni upendo wa kawaida wa binadamu kati ya marafiki na ndugu.
|
|
|
|
# wa uzee wake
|
|
|
|
Hii ina maana ya kwamba Yusufu alizaliwa wakati Israeli alikuwa mzee. "aliyezaliwa wakati Israeli alipokuwa mtu mzee"
|
|
|
|
# Akamshonea
|
|
|
|
"Israeli alimshonea Yusufu"
|
|
|
|
# vazi zuri
|
|
|
|
"joho zuri"
|
|
|
|
# hawakuongea naye vema.
|
|
|
|
"hawakuweza kuongea kwa namna ya upole kwake"
|
|
|