forked from WA-Catalog/sw_tn
338 B
338 B
Seiri
Neno la "Seiri" ni jina la mwanamume na nchi.
Mhori
Neno la "Mhori" lina maana la kundi la watu.
wakazi wa nchi hiyo
walioishi katika nchi ya Seiri, ambayo pia inaitwa Edomu.
Lotani, Shobali, Zibeoni, Ana, Dishoni, Ezeri, na Dishani ... Hori na Hemani
Haya ni majina ya wanamume.
Timna
Hili ni jina la mwanamke.