forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
471 B
Markdown
17 lines
471 B
Markdown
# Akawagawanya watu wake dhidi yao usiku na kuwavamia
|
|
|
|
Yawezekana hii ina maana ya mipango ya vita. "Abramu aliwagawa wanamume katika makundi kadhaa, na wakawashambulia maadui zao katika pande zote"
|
|
|
|
# mali zote
|
|
|
|
Hii ina maana ya vitu ambavyo maadui waliiba kutoka miji ya Sodoma na Gomora.
|
|
|
|
# mali zake
|
|
|
|
"na mali za Lutu ambazo maadui waliiba kutoka kwa Lutu"
|
|
|
|
# pamoja na wanawake na watu wengine
|
|
|
|
"pamoja na wanawake na watu wengine ambao wafalme wanne waliwakamata"
|
|
|