forked from WA-Catalog/sw_tn
608 B
608 B
ikiwa
"Kwa sababu." Hii neno inaonyesha kwamba maneno anayosema baadaye yatoa sababu za kwa nini Wagalatia lazima 1) "kuchukuliana mizigo" 6:1 au 2)kuwa waangalifu ili na wao wenyewe wasije wakajaribiwa (6:1) au " wasije wakajivuna (5:1)
yeye ni kitu
yeye ni mtu muhimu 'au' yeye ni bora kuliko ya wengine
Yeye si kitu
Yeye si muhimu 'au' hana bora kuliko ya wengine
Kila mmoja anapaswa
"Kila mtu lazima"
kila mmoja ataubeba mzigo wake mwenyewe
Kila mtu atahukumiwa kwa kazi yake mwenyewe tu' au 'kila mtu atawajibika kwa kazi yake mwenyewe tu"
kila mmoja ata..
"Kila mtu ata..."