forked from WA-Catalog/sw_tn
458 B
458 B
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
Kuwa makini naye
"Msikilize"
Husimkasirishe, kwa kuwa hatasamehe
"hukimkasirisha, hatasamehe"
Jina langu liko kwake
Hapa "jina" la husu mamlaka ya Mungu.
hakika ukimtii sauti yake
Hapa "sauti" ya wakilisha kile malaika anasema.
adui kwa adui zako na mpinzani kwa wapinzani wako
Hii mistari miwili ina maana ya kitu kimoja na yana tumika kuweka mkazo.