forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
861 B
Markdown
25 lines
861 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe.
|
|
|
|
# Nje panga litawatwaa
|
|
|
|
Hapa "panga" inawakilisha jeshi la maadui. "Waisraeli wanapokuwa nje, jeshi la adui litawaua"
|
|
|
|
# hofu kuu itafanya hivyo
|
|
|
|
Yahwe anazungumzia kuwa na hofu kana kwamba ilikuwa mtu anayekuja ndani ya nyumba na kuua wale waishio ndani yake. "utakufa kwa sababu unaogopa"
|
|
|
|
# mwanamume kijana na bikra nitawaangamiza, mchanga anyonyaye, na mwanamume mwenye mvi
|
|
|
|
Misemo hii inayoelezea watu wa umri tofauti imeunganishwa kumaanisha ya kuwa kila aina ya watu watakufa.
|
|
|
|
# Nilisema nita ... mbali, kwamba nita ... wanadamu
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu iliyo moja kwa moja. "Nilisema, "nita .. mbali, na nita... binadamu"
|
|
|
|
# nitafanya kumbukumbu yao kukoma miongoni mwa wanadamu
|
|
|
|
"Nitawafanya watu wote kusahau kuhusu wao"
|
|
|