forked from WA-Catalog/sw_tn
321 B
321 B
Makabila haya
Hapa lugha nyingine ya "makabila" ina maana ya watu kutoka kwa makabila ya Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Yusufu, na Benyamini. "Watu kutoka kwa makabila haya"
mlima Gerizimu
Mlima mdogo kaskazini mwa Mlima Ebali.
Yusufu
Hii inajumlisha makabila ya Efraimu na Manase, ambao ni vizazi vya Yusufu.