forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
990 B
Markdown
33 lines
990 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
|
|
|
|
# Utakapovuna zao lako shambani mwako
|
|
|
|
"Utakapokata zao la shamba lako"
|
|
|
|
# tita
|
|
|
|
mazao ambayo mvunaji amezifunga pamoja
|
|
|
|
# kinapaswa kuwa cha mgeni, cha yatima, au cha mjane
|
|
|
|
Unaweza kufanya taarifa ieleweke. "unatakiwa kubakia tita ili kwamba mgeni, na yatima, au mjane anaweza kuchukua"
|
|
|
|
# katika kazi ya mikono yako
|
|
|
|
Hapa "mikono" ina maana ya mtu mzima. "katika kazi yako yote unayofanya"
|
|
|
|
# Utakapotikisa mti wako wa mzeituni
|
|
|
|
Unaweza kufanya taarifa ieleweke. "Unapotikisa matawi ya mti wa mzeituni, kusababisha mzeituni kuanguka kwenye nchi ili uweze kuchukua"
|
|
|
|
# haupaswi kupanda juu ya matawi tena
|
|
|
|
"usiokote kila tawi moja kutoka kwenye mti"
|
|
|
|
# itakuwa kwa ajili ya mgeni, kwa yatima na kwa mjane
|
|
|
|
Unaweza kufanya taarifa ieleweke. "mizeituni inayobaki katika matawi ni kwa ajili ya wageni, yatima, na wajane kuokota na kuondoka navyo"
|
|
|