Maelezo yanayounganisha
Paulo akamaliza kujitetea kwa Mfalme Agripa
Ambayo manabii
Paulo anamanisha maandishi yaliyokusanywa ya Manabii wa Agano la kale.
Kwamba Kristo atateseka
"Kwamba kristo atateseka na kufa"
kutangaza mwanga
Kutangaza ujumbe wa ukombozi"