forked from WA-Catalog/sw_tn
428 B
428 B
Baada ya kukaa
Baada ya Festo kukaa
Kukaa kwenye kiti cha hukumu
" kukaa juu ya kiti ili afanye kazi ya hakimu"
Paulo aletwe kwake
"kwamba wamlete Paulo kwake"
Alipofika
"Paulo alipofika na kusimama mbele ya Festo"
Jina la Wayahudi
"sheria ya wayahudi"
siyo dhidi ya hekalu
Paulo alisema hajavunja sheria yoyote kuhusu nani aingie kwenye hekalu la Yerusalemu. "siyo dhidi ya sheria za kuingia hekalini"