forked from WA-Catalog/sw_tn
747 B
747 B
Taarifa kwa ujumla
Festo ndiye gavana wa Kaisaria
Sasa
Neno hili linaonyesha mwanzo wa tukio linalofuata kwenye simulizi.
Festo akaingia katika jimbo
Inamaanisha 1) Festo aliingia katika eneo au 2) Festo aliingia kwenye eneo ili kuanza kutawala
Alienda toka Kaisaria mpaka Yerusalemu
Hii inamaanisha 1) kwenda juuinaonesha umuhimu wa Yerusalemu au 2) alikwenda mpaka juu kwa kuwa Yerusalemu ipo kilimani.
Walileta mashitaka dhidi ya Paulo
"kumshtaki Paulo kwa kuvunja sheria"
Waliongea kwa nguvu kwa Festo
"walimbembeleza Festo"
Kwamba atamuita..... ili wamuue
"kwamba Festo atamuita Paulo..... ili Wayahudi wamuue"
Anaweza kumuita
Anaweza kumtuma
Wanaweza kumuua njiani
Watamvamia Paulo na kumuua akiwa njiani