forked from WA-Catalog/sw_tn
372 B
372 B
Taarifa ya jumla
Fungu hili linazungumzia waumini huko Tiro
Wakati tulipokuwa tumekaa siku kadhaa
Inaonyesha kuwa kuna muda waliokaa katika mji huo.
tukapiga magoti pwani, tukaomba
likuwa desturi ya kawaida kupiga magoti wakati wa kuomba. Hii ilikuwa ni alama ya kuonyesha unyenyekevu mbele za Mungu.
tukaagana kila mmoja
"Alisema 'kwaheri' kwa kila mmoja