forked from WA-Catalog/sw_tn
484 B
484 B
Taarifa ya jumla
Paulo anaendeleza mjadala wake pamoja na waumini wapya huko Efeso.
mlibatizwa katika nini?
"Ubatizo wa aina gani mliobatizwa?"
Katika Ubatizo wa Yohana
"Tuliupokea ubatizo kupitia mafundisho aliyokuwa akifundisha Yohana"
Ubatizo wa toba
"Ubatizo ambao watu waliuomba wakati walipotaka kugeuka kutaka kutubu dhambi zao
yule ambaye angekuja
Hapa neno "Yule" linamaanisha Yesu.
kuja baada yake
Hii inamaanisha angekuja baada ya Yohana Mbatizaji.