forked from WA-Catalog/sw_tn
674 B
674 B
Hakujua
"Hakuwa anajua kilichokuwa kinaendelea"
kilichofanywa na malaika kama ni cha kweli
Tukio la Malaika kwa Petro lilikuwa la kweli.
Baada ya kupita lindo la kwanza na la pili
Askari hawakuwa na uwezo wa kumwona Petro na malaika wakitembea mpaka kutoka lango la nje.
walipita
"Waliweza kupita"
Lindo la pili
"Katika lindo la pili nako wakapita"
Wakafika
"Walilifikia lango kuu"
Lililoelekea mjini
"Lilifunguka kutoka gerezani kuelekea mjini"
likafunguka lenyewe
Si Petro wala Malaika aliyelifungua lango hilo.
wakashuka kwenye mtaa,
"Wakatembea wakiwa barabarani"
Malaika akamwacha.
"Mara Malaika akamwacha" au "Ghafla akatoweka"