forked from WA-Catalog/sw_tn
671 B
671 B
Maelezo ya jumla
Luka anaelezea historia kuhusu unabii huko Antiokia.
Sasa
Neno hili linatumika kuweka kituo katika simlizi hiyo kuu.
manabii wakashuka kutoka Yerusalemu mpaka Antiokia
Yerusalemu ilikuwa juu zaidi ya Antiokia, hivyo ilikues kawaida ya Waisraeli kusema wanapanda kwenda Yerusalemu
Agabo ndilo jina lake
"Jina lake alikuwa akiitwa Agabo
akiashiriwa na Roho
"Roho Mtakatifu alimwezesha kutoa unabii"
njaa kali itatokea
"Upungufu mkubwa wa chakula utatokea"
Juu ya dunia yote
Akimaanisha, "Katika dola yote ya Kirumi"
wakati wa siku za Klaudio.
Wasikilizaji wa Luka wangejua kwamba Klaudio alikuwa Mtawala wa Rumi wakati huo.