forked from WA-Catalog/sw_tn
681 B
681 B
Sogea karibu na gari hili
Filipo alifahamu kuwa ni muhimu kuwa karibu na mtu yule aliyepanda kwenye mkokoteni.
akamsikia akisoma katika chuo cha nabii Isaya
Hiki ni kitabu cha Agano la Kale cha Nabii Isaya.
Je unafahamu unachosoma?"
Mwethiopia alikuwa mtu mwenye akili na aliweza kusoma, lakini alikuwa na upungufu wa ufahamu wa kiroho. Filipo alimwulija, "Je! Unafahamu maana ya habari unayoisoma?
Nitawezaje, isipokuwa mtu aniongoze kuielewa?"
Swali hili liliulizwa kusisitiza kuwa hakuweza kuelewa bila msaada. ''siwezi mpaka mtu aniongoze"
Alimuomba filipo akae nae
Filipo alikubali kutembea naye akiwa chini ya barabara pamoja naye akiyafafanua maandiko.