forked from WA-Catalog/sw_tn
360 B
360 B
Sentensi unganishi
Gamalieli anatoa maelezo mbele ya wajumbe wa baraza
Gamalieli, mwalimu wa sheria, aliyeheshimiwa na watu wote
Luka anamwelezea Gamarieli juu ya historia yake.
aliyeheshimiwa na watu wote
Alikuwa anaheshimiwa na watu wote
alisimama na kuwaamuru mitume wachukuliwe nje
Gamalieli aliwaagiza walinzi wawatoe nje mitume kwa muda.