forked from WA-Catalog/sw_tn
621 B
621 B
Hofu ikaja juu ya kila nafsi
watu walijawa na hofu na kicho cha Mungu ndani yao
maajabu mengi na ishara zikafanyika kupitia mitume
Mungu alifanya miujiza na ishara nyingi kupitia wanafunzi wake.
wote walikuwa pamoja
Inaweza kuwa, "wote waliamini jambo hilo moja" au " waumini wote walioamini walikuwa pamona katika sehemu moja"
walikuwa na vitu vyote kwa ushirikiano
"walitumia mali zao kwa kumgawia kila mmoja na mwenzake"
mali walizo miliki
Mashamba na vitu vingine vilivyokuwa wanavimiliki.
kugawanya kwa wote kulingana na hitaji la kila mmoja.
Kila mmoja aligawiwa kulingana na uhitaji wake.