forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
404 B
Markdown
21 lines
404 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Petro anaendelea kumnukuu nabii Joeli.
|
|
|
|
# watumishi wangu na watumishi wangu wa kike
|
|
|
|
Wote waume kwa wake ni watumishi. Mungu atamwaga Roho wake kwa watumishi wake wote kwa wanaume na kwa wake.
|
|
|
|
# Nitammimina Roho wangu
|
|
|
|
Mungu anamtoa Roho wake kwa ukarimu kwa watu wote.
|
|
|
|
# toa unabii
|
|
|
|
Mungu anawatia msukumo kuizungumza kweli ya Mungu.
|
|
|
|
# mafusho ya moshi.
|
|
|
|
"umande" au "ukungu"
|
|
|