forked from WA-Catalog/sw_tn
863 B
863 B
Waliomba wakisema
"Ndipo waumini waliomba" Inamaanisha wote waliokuwemo chumba cha juu waliomba, pengine kwa kuongozwa na mtume mmoja.
Wewe, Bwana, wajua mioyo ya watu wote
"Bwana, Wewe wajua msukumo wa ndani na mawazo ya kila mmoja"
hivyo funua yupi kati ya hawa wawili ndiye uliye mteua kuchukua nafasi katika huduma hii ya kitume
"Kwa sababu hiyo, Mungu, tuoneshe sisi yupi kwenye watu hawa wawili umemteua kujaza nafasi hii wazi katika matume"
Kutokana na Yuda kukosea na kwenda njia yake mwenyewe
Nafasi iliachwa wazi sababu Yuda alimsaliti Yesu, aliondoka, na akafa.
Wakawapigia kura
Walitumia kura kuamua kati ya Yusufu na Mathiasi
Kura ikamwangukia Mathiasi
Kura iliashiria kwamba Mathiasi alikuwa amechaguliwa kuchukua nafasi ya Yuda
Alihesabiwa pamoja na mtume kumi na mmoja
"wanafunzi walimchukulia kuwa ni mmoja wa mitume"