forked from WA-Catalog/sw_tn
530 B
530 B
jeshi likaenda nyikani dhidi ya Israel
Hii inamaanisha kwamba walikwenda na kupigana nao vitani.
eshi la Israeli likashindwa mbele ya askari wa Daudi
Inaweza kuelezwa katika muundo tendaji yaani "Askari wa Daudi walilishinda jeshi la Israeli"
Machinjo makuu
Tukio ambapo watu wengi waliuawa kwa ukatili.
Watu elfu ishirini
"20,000"
watu wengi wakaangamizwa na msitu kuliko upanga
Hapa "msitu" unaelezwa kama ulikuwa hai kuweza kufanya kitendo. "Upanga" inahusu jeshi la Daudi lililoweza kupigana kwa upanga.