forked from WA-Catalog/sw_tn
455 B
455 B
Ahithofeli
Hili ni jina la mwanamme
kulitunza kasiri
Kifungu "kutunza" kinamaanisha kuangalia.
kuwa kitu kinachonuka mbele ya baba yako
Ahithofeli anazungumia Absalomu kumchukiza baba yake kama vile kingekuwa kitu ambacho kina harufu ya kuchukiza.
Kisha mikono ya wote walio pamoja nawe itatiwa nguvu
Hapa watu waliomfuata Absalomu wanarejerea kwa kutaja mikono yao. Habari hii itaitia nguvu utiifu wa watu kwa Absalomu na kuwapa hamasa.