forked from WA-Catalog/sw_tn
492 B
492 B
mwovu
Mtu mwovu, mkosaji au mvunja sheria.
mtu wa damu
Hapa "damu" inaonesha watu wote aliokuwa amewaua vitani.
Yahwe amekulipa
Yahwe anawalipa kwa kuwaadhibu.
Kwa damu ya familia ya Sauli
Hapa "damu" inaonesha watu waliokuwa wameuawa kutoka katika familia ya Sauli. Mfalme alikuwa anawajibika kwa kufa kwao.
ambaye umemiliki badala yake
Daudi alitawala kama mfalme juu ya watu ambao Sauli alikuwa amewamilki.
katika mkono wa Absalomu
Hapa "mkono" unaonesha mamlaka.