forked from WA-Catalog/sw_tn
633 B
633 B
Ikawa
"Ilitukia." Kifungu hiki kinaonesha tukio linalofuata katika habari.
juu njiani
Neno "juu" limetumika hapa kwa sababu Daudi alipanda juu katika mwinuko na yupo juu ya kilima.
Mahali Mungu alipokuwa akiabudiwa
Hii inaweza kuelezwa kuwa "mahali ambapo watu walikuwa wakimwabudu Mungu"
Hushai
Hili ni jina la mwanamme.
Mwarki
Hili ni jina la kundi la watu.
Vazi lake likiwa limechanwa na udongo kichwani
Hili ni tendo la kuonesha aibu au toba. Hapa neno "udongo" linamaanisha uchafu.
Utalibadili shauri la Aithofeli kwa ajili yangu
Maoni ya Daudi kwa Hushai kwamba apinge kile Aithofeli anachoshauri.