forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
450 B
Markdown
17 lines
450 B
Markdown
# Maelzo ya Jumla:
|
|
|
|
Elisha alienda na manabii kukata miti.
|
|
|
|
# kichwa shoka kikaangukia kwenye maji
|
|
|
|
Kichwa cha shoka kinarejea kwenye ubapa wa shoka. Hii inamaanisha kwamba kichwa cha shoka kikalegea kutoka kwenye mkono wake na kuangukia kwenye maji. "kichwa cha shoka kikajitenga kutoka kwenye mshkio na kuangukia kwenye maj"
|
|
|
|
# la hasha
|
|
|
|
Yule mtu alisema hivi kuonyesha kwamba alikuwa amekasirika na kukata tamaa.
|
|
|
|
# ilikuwa imeazimwa
|
|
|
|
"kuiazima"
|
|
|