forked from WA-Catalog/sw_tn
849 B
849 B
Sentensi Unganishi
Paulo anatetea utume wake kutoka kwa Mungu, paulo anaendelea kusema wazi mambo yale yaliyompata tangu awe mwamini.
Nitaendelea
"nitaendelea kuzungumza, hata sasa juu yake"
maono na mafunuo kutoka kwa Bwana
Maana zaweza kuwa hizi" Paulo anatumia maneno "maono" na "mafunuo" kumaanisha kitu kile kile kimeunganishwa kwa maneno tofauti ili kutoa msisitizo.
Namjua mtu mmoja katika Kristo
Paulo kwa hakika anajisema yeye mwenyewe kama vile alikuwa mtu mwingine, lakini hii ikiwezekana ni lazima itafsiriwe kama ilivyoandikwa.
ikiwa katika mwili, au nje ya mwili, mimi sijui
Paulo anazidi kujieleza yeye mwenyewe kama ikiwa hii itatokea kwa mtummwingine.
Mungu anajua
"ni Mungu pekee ajuaye"
mbingu ya tatu
Hii inalelezea mahali anapokaa Mungu na siyo mbingu au nafasi wazi angani (sayari, nyota, na dunia)