forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
421 B
Markdown
17 lines
421 B
Markdown
# Wamejinyenyekeza.
|
|
|
|
"Mfalme na viongozi wengine wa Israeli walikuwa wamejinyenyeza wenyewe," Mfalme na viongozi wengine ni maneno yanayowakilisha au yenye maana ya watu wote wa Isaraeli.
|
|
|
|
# Neno la Yahwe likamjia.
|
|
|
|
"Yahwe alisema neno lake."
|
|
|
|
# Nitawaokoa kwa hatua fulani.
|
|
|
|
Nitawaokoa wasiangamie kwa kabisa kabisa
|
|
|
|
# Hasira yangu haitamiminwa juu ya Yerusalemu.
|
|
|
|
"Sitaiachilia hasira yangu yote dhidi ya Yerusalemu"
|
|
|